Luka 15:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
8 “Vilevile ni mwanamuke gani anayekuwa na vikoroti kumi vya feza, naye akipoteza kimoja, atakayekosa kuwakisha taa na kufagia nyumba kutafuta vizuri mpaka akipate?
Kama muchungaji anavyowatafuta kondoo wake waliosambazwa, ndivyo nitakavyowatafuta kondoo wangu. Nitawarudisha kutoka kila pahali waliposambazwa kwa siku yenye mawingu ya hatari na giza nene.
Vilevile ninawaambia, ndivyo kutakuwa furaha kubwa zaidi mbinguni kwa ajili ya mwenye zambi mumoja anayegeuka toka zambi zake, kuliko wenye haki makumi tisa na tisa wasiokuwa na lazima ya kugeuka toka zambi zao.
Na watu wengi kati ya wale waliofanya mambo ya uchawi wakaleta vitabu vyao vya uganga na wakavichoma mbele ya watu wote. Bei ya vitabu vile ilipohesabiwa, ikafikia vikoroti vya feza elfu makumi tano.