Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 15:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Vilevile ninawaambia, ndivyo kutakuwa furaha kubwa zaidi mbinguni kwa ajili ya mwenye zambi mumoja anayegeuka toka zambi zake, kuliko wenye haki makumi tisa na tisa wasiokuwa na lazima ya kugeuka toka zambi zao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 15:7
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kuna watu ambao wanajiona kuwa safi, kumbe bado hawajatakaswa uchafu wao.


Na kama akimupata yule kondoo, kweli ninawaambia, anamufurahia kuliko wale makumi tisa na tisa waliobaki bila kupotea.


Basi muonyeshe kwa njia ya matendo kwamba mumegeuka toka zambi zenu.


Vilevile ninawaambia, ndivyo wamalaika wa Mungu wanavyofurahi kwa ajili ya mwenye zambi mumoja anayegeuka toka zambi zake.”


Lakini akamujibu baba yake: ‘Ninakutumikia kwa miaka mingi na sijakukosea hata mara moja. Ingawa vile haujanipatia hata kitoto cha mbuzi kusudi nifurahi pamoja na warafiki zangu.


Kwa hivi ilitupasa kushangilia na kufurahi, kwa maana mudogo wako huyu alikuwa amekufa na amefufuka, alikuwa amepotea na sasa ameonekana.’ ”


Naye anaporudia kwake, atawaita warafiki na jirani zake na kuwaambia: ‘Mufurahi pamoja nami, kwa sababu nimemupata kondoo wangu aliyepotea!’


“Vilevile ni mwanamuke gani anayekuwa na vikoroti kumi vya feza, naye akipoteza kimoja, atakayekosa kuwakisha taa na kufagia nyumba kutafuta vizuri mpaka akipate?


Yesu akawaambia: “Ninyi ni watu wanaojionyesha kuwa wenye haki mbele ya watu, lakini Mungu anajua yanayokuwa ndani ya mioyo yenu. Kwa maana mambo yanayosifiwa na watu ni machukizo mbele ya Mungu.


Sikukuja kuwaita wenye haki, lakini wenye zambi kusudi wageuke toka zambi zao.”


Zamani nilikuwa muzima pasipo kujua Sheria, lakini wakati amri ilipotokea, zambi ikaanza kutenda kazi,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ