Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 15:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Baba yake akamwambia: ‘Mutoto wangu, wewe uko pamoja nami siku zote na kile ninachokuwa nacho ni chako.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 15:31
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini mwana wako huyu aliyeharibu mali yako katika ukahaba alipofika, ukamuchinjia yule ngombe mwenye kunona!’


Kwa hivi ilitupasa kushangilia na kufurahi, kwa maana mudogo wako huyu alikuwa amekufa na amefufuka, alikuwa amepotea na sasa ameonekana.’ ”


Mutumwa hahesabiwi kuwa mumoja wa jamaa siku zote, lakini mwana anahesabiwa kuwa mumoja wa jamaa siku zote.


Basi ninauliza: Mungu amewatupilia watu wake? Hapana hata kidogo! Maana kwa ngambo yangu, mimi ni Mwisraeli wa uzao wa Abrahamu, toka kabila la Benjamina.


Ni nani anayeweza kumupa Mungu kitu kwanza, kusudi naye apate kumurudishia?”


ndilo taifa la Waisraeli. Wao walikubaliwa na Mungu kuwa watoto wake, yeye aliwaonyesha utukufu, alifanya maagano nao, aliwapa Sheria, aliwaonyesha namna ya kumwabudu na kuwatolea ahadi zake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ