26 Akamwita mumoja kati ya watumishi, na kumwuliza juu ya mambo yanayopitika kule.
“Kwa wakati ule, mwana wake wa kwanza alikuwa kwenye mashamba. Alipokuwa akirudia na kukaribia nyumba, akasikia sauti ya watu wakiimba na kucheza.
Mutumishi ule akamujibu: ‘Mudogo wako amerudia salama; kwa hiyo baba yako amechinja yule ngombe mwenye kunona.’
Aliposikia kundi la watu wakipita, akauliza juu ya mambo yanayopitika.
Wote wakashituka na kushangaa, wakaulizana: “Maana ya mambo haya ni nini?”