Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 15:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 “Kwa wakati ule, mwana wake wa kwanza alikuwa kwenye mashamba. Alipokuwa akirudia na kukaribia nyumba, akasikia sauti ya watu wakiimba na kucheza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 15:25
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Daudi alikuwa amejifungia kizibao cha kuhani katika kiuno chake. Alicheza kwa nguvu zake zote mbele ya Yawe.


Wimbo wa safari za kidini. Yawe alipoturudisha tena Sayuni, tulikuwa kama watu wanaoota ndoto!


Mulisifu jina lake mukicheza, mumwimbie kwa ngoma na zeze.


Mumusifu kwa ngoma na michezo, mumusifu kwa filimbi na kinanda!


Usikie, ee Yawe, unihurumie; ee Yawe, unisaidie!”


Basi nabii Miriamu, dada ya Haruni, akatwaa ngoma katika mukono, na wanawake wengine wote wakamufuata wakiwa na ngoma zao ndogo wakicheza.


wakati wa kulia na wakati wa kucheka, wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza,


Nitakurudisha katika hali mupya, ewe binti Israeli! Utazitwaa tena ngoma zako, nawe utajitokeza tena kwa kucheza na wenye shangwe.


Kwa sababu mwana wangu huyu alikuwa amekufa, na amefufuka, alikuwa amepotea na sasa ameonekana.’ Nao wakaanza kufurahi pamoja.


Akamwita mumoja kati ya watumishi, na kumwuliza juu ya mambo yanayopitika kule.


Wanafanana na watoto wanaoikaa kwenye nafasi ya makutano wanaowaita wenzao, wakisema: ‘Tuliwapigia ngoma, lakini hamukucheza! Tuliimba wimbo wa kilio, lakini hamukulia!’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ