Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 15:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Sababu hii sistahili kuhesabiwa tena sawa vile mwana wako; unihesabu sawa vile mumoja wa watumishi wako.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 15:19
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Yakobo akamwomba Mungu akisema: “Ee Mungu wa babu yangu Abrahamu, Mungu wa baba yangu Isaka! Ewe Yawe uliyeniambia nirudi katika inchi yangu kwa jamaa yangu, ukaniahidi kunitendea mema,


Kwa hiyo ninatubu na kujihukumu; ninajinyenyekeza na kuikaa juu ya mavumbi na majivu.


Ee Mungu, umwangalie huyo ngao yetu, upendezwe na huyo uliyemuchagua.


Basi nitaondoka huku na kurudia kwa baba yangu nami nitamwambia: baba, nimemukosea Mungu na nimekukosea wewe vilevile.


Kisha akafunga safari yake na kurudia kwa baba yake. “Alipokuwa angali mbali kidogo, baba yake akamwona, akamusikilia huruma. Akamukimbilia, akamukumbatia mwana wake na kumubusu.


Simoni Petro alipoona mambo hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu na kusema: “Bwana, utoke karibu nami, kwa sababu mimi ni mutu mwenye zambi!”


Kwa maana mimi ni mudogo kati ya mitume wote, nami sistahili hata kuitwa mutume, kwa maana nilitesa kanisa la Mungu.


Basi mujinyenyekeze mbele ya Mungu mwenye uwezo, kusudi awainue kwa wakati unaofaa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ