Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 14:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Naye anapokuja, yule aliyewaalika ninyi wawili, ataweza kuja kukuambia: ‘Umwachie mutu huyu kiti.’ Halafu utapatwa na haya kwenda kuikaa kwenye viti vya nyuma.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 14:9
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kiburi kinazaa haya, lakini kwa watu wanyenyekevu kuna hekima.


Kiburi kinatangulia maangamizi; majivuno yanatangulia maanguko.


Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbafu watapata haya.


Yesu aliposema vile, wapinzani wake wote wakafezeheka, lakini kundi lote la watu wote walifurahia matendo yote ya ajabu aliyoyatenda.


Basi muonyeshe kwa njia ya matendo kwamba mumegeuka toka zambi zenu. Musianze tu kujisemesha kwamba Abrahamu ndiye babu yenu. Ninawaambia kwamba Mungu anaweza kugeuza mawe haya kuwa watoto wa Abrahamu!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ