4 Lakini wao wakanyamaza. Halafu Yesu akamushika mugonjwa, akamuponyesha na kumuruhusu kwenda.
Basi hakuna mutu aliyeweza kumujibu neno, na tangia siku ile hakuna aliyesubutu kumwuliza tena neno.
Basi Yesu akawauliza walimu wa Sheria na Wafarisayo: “Sheria inaruhusu au inakataza kuponyesha mutu kwa siku ya Sabato?”
Kisha akawaambia wale watu: “Ni nani kati yenu mutoto wake au ngombe wake akitumbukia ndani ya kisima, atakayekosa mara moja kumwondosha mule hata ikiwa ni siku ya Sabato?”