Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 14:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 Ni vile inavyokuwa, hakuna mumoja wenu atakayeweza kuwa mwanafunzi wangu kama asipoacha vyote anavyokuwa navyo.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 14:33
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Mutu anayenifuata, atakuwa kweli mwanafunzi wangu kama akinipendelea mimi kuliko baba na mama yake, muke na watoto wake, wakaka na wadada zake. Na zaidi ya hii hapaswi kujipendelea yeye mwenyewe vilevile.


Yeye akiona kwamba hataweza, atamutumia yule mufalme mwingine ujumbe kwa kuomba mapatano ya amani, huyo mwingine anapokuwa angali mbali.


Basi wakakokota vyombo vyao mpaka inchi kavu, wakaacha vyote na kumufuata.


Lawi akasimama, akaacha vyote na kumufuata.


Dema amependelea mambo ya dunia hii akaniacha na kwenda Tesalonika. Kreske akaenda Galatia, na Tito akaenda Dalmatia.


Aliona kwamba kupatishwa haya kwa ajili ya Kristo kuna faida kubwa zaidi kuliko kupata utajiri wote wa inchi ya Misri, maana alikuwa anatazamia kupokea zawadi yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ