Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 14:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Yeye akiona kwamba hataweza, atamutumia yule mufalme mwingine ujumbe kwa kuomba mapatano ya amani, huyo mwingine anapokuwa angali mbali.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 14:32
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Una nguvu kama mimi Mungu? Unaweza kunguruma kwa sauti kama yangu?


“Kama mutu akikushitaki, upatane naye upesi wakati mungali katika njia kwenda kwenye tribinali. Kama si vile, yule anayekushitaki atakutoa kwa mwamuzi, naye mwamuzi atakupeleka kwa askari, nawe utatupwa katika kifungo.


Mutu akikuomba kitu, umupe. Na mutu akitaka umukopeshe, usimugeuzie mugongo.


Unapokwenda kwa tribinali na mupinzani wako, ujikaze upatane naye mungali katika njia. Kama si vile atakupeleka mbele ya mwamuzi, na mwamuzi atakutoa kwa askari, na askari atakutupa katika kifungo.


Au ni mufalme gani anayetaka kwenda kupigana vita na mufalme mwingine, atakayekosa kwanza kuikaa na kujiuliza kama kwa nguvu za waaskari wake elfu kumi ataweza kumushinda adui yake anayekuja na waaskari elfu makumi mbili?


Ni vile inavyokuwa, hakuna mumoja wenu atakayeweza kuwa mwanafunzi wangu kama asipoacha vyote anavyokuwa navyo.”


Lakini wanainchi wenzake walimuchukia. Kwa hiyo wakatuma wajumbe kumufuata nyuma waende kusema: ‘Hatutaki mutu huyu kuwa mufalme wetu.’


Herode alikuwa amechunga hasira sana juu ya watu wa muji Tiro na wa Sidona. Lakini wakapatana kwa nia moja kwa kumwendea. Kwanza wakasikilizana na Balasto, aliyekuwa musimamizi wa nyumba ya mufalme. Kisha wakaomba mapatano ya amani kwa mufalme Herode, kwa sababu inchi yao ilitegemea inchi ya mufalme huyo kwa kupata chakula.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ