Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 14:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Au ni mufalme gani anayetaka kwenda kupigana vita na mufalme mwingine, atakayekosa kwanza kuikaa na kujiuliza kama kwa nguvu za waaskari wake elfu kumi ataweza kumushinda adui yake anayekuja na waaskari elfu makumi mbili?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 14:31
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mufalme Ahabu wa Israeli akajibu: “Mumwambie mufalme Beni-Hadadi kwamba shujaa anajisifu kisha kupigana vita, na si mbele ya vita!”


Kila mumoja umeshikamana na mwingine, hata hewa haiwezi kupenya katikati yake.


Mipango mizuri inafanyika kwa kushauriana; ukitaka kuanza vita inafaa kufikiri kwanza.


Mambo uliyoona kwa macho yako, usiharakishe kuyapeleka katika tribinali; maana utafanya nini kwa mwisho, kama jirani yako anakupatisha haya?


wakisema: ‘Mutu huyu alianza kujenga, lakini hakuweza kumaliza!’


Yeye akiona kwamba hataweza, atamutumia yule mufalme mwingine ujumbe kwa kuomba mapatano ya amani, huyo mwingine anapokuwa angali mbali.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ