Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 14:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Ni nani kati yenu anayetaka kujenga munara, atakayekosa kwanza kuikaa na kuhesabu mali yote atakayoitumia kwa kujenga kusudi ajue kama yuko na mali inayotosha kwa kumaliza?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 14:28
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwanza fanya kazi zako inje na kutayarisha kila kitu katika shamba. Kisha jenga nyumba yako.


Na watu wote watawachukia kwa ajili yangu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ataokolewa.


Yesu akamujibu: “Mbweha wako na makao yao ndani ya matundu, nao ndege wako na chicha, lakini Mwana wa Mutu hana nafasi ya kulala.”


Mutu yeyote asiyejitolea kwa kubeba musalaba wake na kunifuata, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Kwa maana akiweka musingi, na nyuma anashindwa kumaliza kujenga munara ule, wote wanaoona jambo lile wataanza kumuzarau,


Ni vile inavyokuwa, hakuna mumoja wenu atakayeweza kuwa mwanafunzi wangu kama asipoacha vyote anavyokuwa navyo.”


Lakini Paulo akajibu: “Kwa sababu gani munalia na kunivunja moyo? Mimi niko tayari, si kwa kufungwa tu kule Yerusalema, lakini hata kufa vilevile kwa ajili ya jina la Bwana Yesu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ