19 Mwingine akamwambia: ‘Nimenunua ngombe kwa ajili ya kazi ya kulima, nami ninakwenda kuwapima. Tafazali, unisamehe.’
Lakini wao wote moja kwa moja wakaanza kutoa sababu zao za kutokufika. Wa kwanza akamwambia yule mutumishi: ‘Nimenunua shamba, nami ninapaswa kwenda kuliangalia. Tafazali, unisamehe.’
Na mwingine akamwambia: ‘Mimi ninatoka kuoa siku hizi, na kwa sababu hii siwezi kuja.’