Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 14:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Saa ya karamu ilipotimia akamutuma mutumishi wake kwenda kuwaambia walioalikwa kwamba wafike kwa maana vitu vyote viko tayari.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 14:17
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Yesu akawaambia mufano huu: “Mutu mumoja alifanya karamu kubwa, na kualika watu wengi.


Lakini wao wote moja kwa moja wakaanza kutoa sababu zao za kutokufika. Wa kwanza akamwambia yule mutumishi: ‘Nimenunua shamba, nami ninapaswa kwenda kuliangalia. Tafazali, unisamehe.’


Siku ya mwisho ya sikukuu ile iliyokuwa siku kubwa, Yesu akasimama na kusema hivi kwa sauti: “Mutu akiwa na kiu, akuje kwangu akunywe.


“Wandugu zangu, ninyi wazao wa Abrahamu na ninyi watu wa mataifa mengine munaokuwa hapa kwa kumwabudu Mungu, habari hii ya wokovu imetumwa kwetu!


Mambo haya yote yalifanyika na Mungu, aliyetupatanisha naye kwa njia ya Kristo na kutupatia kazi ya kuongoza watu wengine wapatane naye.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ