Luka 14:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Kisha Yesu akamwambia yule aliyemwalika: “Wakati unapofanya karamu ya muchana au ya magaribi, usiwaalike warafiki zako, wala wandugu zako, wala watu wa jamaa yako, wala jirani zako wanaokuwa watajiri, kusudi nao vilevile wasikualike, nawe usikuwe kama umelipwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |