20 Yesu akasema tena: “Nitafananisha Ufalme wa Mungu na nini?
“Nitawafananisha watu wa kizazi hiki na nini? Wanafanana na watoto wanaoikaa kwenye nafasi ya makutano na kuita wenzao wakisema:
Yesu akawaambia mufano mwingine, akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na mutu mumoja aliyepanda mbegu nzuri ya ngano katika shamba lake.
Yesu akasema tena: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?
Unafanana na chachu mwanamuke mumoja aliyoitwaa na kuichanga na vipimo vitatu vya unga kwa kuponda mikate, hata yote ikapata kuvimba.”