Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 13:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Yesu akawauliza: “Munazani kwamba Wagalilaya hawa waliuawa vile kwa sababu wao walikuwa wenye zambi kuliko Wagalilaya wengine wote?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 13:2
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Katika siku zile watu wamoja wakakuja kumwelezea Yesu habari juu ya wale watu wa Galilaya waliouawa na liwali Pilato walipokuwa wakichinja nyama za kutolea Mungu sadaka.


Hakika si vile, lakini musipogeuka toka zambi zenu, ninyi wote mutaangamia kama wao.


Vilevile munazani kwamba wale watu kumi na wanane waliokufa munara ulipowaangukia kule Siloamu, walikuwa wakosaji kuliko wakaaji wengine wote wa Yerusalema?


Wanafunzi wake wakamwuliza: “Mwalimu, kwa sababu gani mutu huyu alizaliwa kipofu? Ni kwa ajili ya malipizi ya zambi yake mwenyewe au zambi ya wazazi wake?”


Wale wenyeji wa kule walipoona nyoka yule anajizingia kwa mukono wake wakasemezana: “Hakika mutu huyu ni mwuaji, kwa maana ijapokuwa alipona katika hatari ya bahari, kufuatana na azabu ya haki ya Mungu, kufa kwake kunatimia.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ