Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 12:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 “Ndege watano wadogo, si wanauzishwa kwa bei chini kabisa? Hata vile Mungu hasahau hata mumoja wao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 12:6
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anawapa nyama chakula chao, na kulisha vitoto vya kibombobombo vinapomulilia.


Ndege wawili wadogo wanauzishwa kwa bei chini kabisa. Ingawa vile hakuna hata mumoja wao anayekufa bila mapenzi ya Baba yenu.


Na kukakuja mujane mumoja masikini, akatoa vikoroti viwili vidogo sana vinavyolingana na sengi mbili.


Mufikiri juu ya kibombobombo: ndege hao hawapandi mbegu, hawavuni, hawana gala wala nafasi yoyote ya kuwekea mavuno, lakini Mungu anawalisha. Ninyi ni wa lazima zaidi kuliko ndege!


Mufikiri juu ya namna maua yanavyoota. Hayasumbuki wala kujisukia nguo. Lakini ninawaambia kwamba hata mufalme Solomono katika utukufu wote aliokuwa nao, hakuvaa nguo inayoweza kulinganishwa na uzuri wa moja la maua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ