55 Na wakati munapoona upepo ukivuma toka upande wa kusini, munasema kwamba jua litakuwa kali, na ni vile inavyokuwa.
Wewe unajiona umevaa nguo za joto sana, wakati upepo wa kusini unapovuma juu ya inchi.
Wakasema: ‘Watumishi hawa wa mwisho wametumika kazi kwa saa moja tu, nawe umewalipa sawasawa na sisi tuliovumilia muchoko na jua kali kwa muchana kutwa!’
Lakini wewe, unapomusaidia masikini, ufanye tendo lile kwa uficho hata rafiki yako wa kweli asijue.