Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 12:52 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

52 Kwa maana tangu sasa watu watano wa jamaa moja watatengana; watatu watapingana na wawili, na wawili watapingana na watatu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 12:52
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wanasema: “Magonjwa haya yatamwua; hatatoka tena ndani ya kitanda chake!”


Munazania kwamba mimi nimekuja kuleta amani katika dunia? Ninawaambia ninyi: si vile, nimekuja kuleta matengano.


Baba atapingana na mwana wake, na mwana atapingana na baba yake. Mama atapingana na binti yake, na binti atapingana na mama yake. Mama mukwe atapingana na muke wa mutoto wake, na muke yule atapingana na mama mukwe yake.”


Watawatenga musiingie katika nyumba za kuabudia. Na kutakuwa wakati ambapo wote watakaowaua watazani kwamba wanamutumikia Mungu.


Wafarisayo wamoja wakasema: “Mutu huyu hakutoka kwa Mungu kwa sababu hashiki sheria ya siku ya Sabato.” Lakini wengine wakasema: “Mutu mwenye zambi anaweza kuonyesha kitambulisho kama hiki?” Basi kukatokea mikorogano kati yao.


Wamoja wakasadiki maneno yaliyosemwa, lakini wengine hawakuyaamini.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ