Baba atapingana na mwana wake, na mwana atapingana na baba yake. Mama atapingana na binti yake, na binti atapingana na mama yake. Mama mukwe atapingana na muke wa mutoto wake, na muke yule atapingana na mama mukwe yake.”
Wafarisayo wamoja wakasema: “Mutu huyu hakutoka kwa Mungu kwa sababu hashiki sheria ya siku ya Sabato.” Lakini wengine wakasema: “Mutu mwenye zambi anaweza kuonyesha kitambulisho kama hiki?” Basi kukatokea mikorogano kati yao.