Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 12:50 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

50 Niko na muzigo wa mateso ninaopaswa kubeba, nami ninasongwa sana mpaka mapaswa hayo yatakapotimizwa!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 12:50
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu nikasema: “Ninakuja. Katika kitabu imeandikwa juu yangu.


Waliungama zambi zao, naye Yoane aliwabatiza katika muto Yordani.


“Nimekuja kuleta moto katika dunia, nami ningetaka sana kuona ukiwa umekwisha kuwaka!


Lakini Yesu akamwambia Petro: “Rudisha upanga wako katika kifuko chake! Inanipasa kunywa kikombe cha mateso Baba yangu alichonitayarishia.”


Wakati Yesu alipokwisha kumeza ile divai, akasema: “Yote yametimilika!” Kisha akainamisha kichwa na kukata roho.


Yesu akawaambia: “Chakula changu ni kufanya mapenzi ya yule aliyenituma na kutimiza kazi yake.


Wandugu zake walipokwisha kwenda kwa sikukuu ile, Yesu akaenda kule vilevile, lakini alienda kwa siri bila kujionyesha waziwazi.


Basi sasa kwa kuwa ninalazimishwa na Roho Mutakatifu, nitakwenda Yerusalema pasipo kujua mambo yatakayonitokea kule.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ