34 Kwa maana pahali akiba yenu inapokuwa, ni pale roho zenu zinapokuwa vilevile.
Kwa maana pahali akiba yako inapokuwa, ni pale roho yako inapokuwa vilevile.
“Mukuwe tayari kwa kutumika na kuacha taa zenu zikiwaka.
Lakini sisi ni wenyeji wa mbingu, tunamungojea Mwokozi wetu Bwana Yesu Kristo, afike kutoka kule.