Luka 12:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200233 Muuzishe vitu munavyokuwa navyo, muwasaidie wamasikini. Mujiwekee feza zisizoweza kuwa na upungufu, nayo akiba isiyoweza kumalizika katika mbingu. Kule wizi hawawezi kukaribia wala nondo hawaharibu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |