Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 12:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Basi ikiwa hamuwezi kufanya kitu kidogo kama hiki, kwa nini munajisumbua juu ya vitu vingine?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 12:26
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kumbe umenipimia maisha mafupi sana! Maisha yangu si kitu mbele yako. Hakika, kila mwanadamu ni kama pumzi tu!


Mufikiri vema juu ya kazi ya Mungu. Ni nani anayeweza kunyoosha kitu Mungu alichokunja?


“Ni kwa sababu hii ninawaambia ninyi: musijisumbue kwa ajili ya maisha yenu, kwa ajili ya chakula au kwa ajili ya kinywaji, wala musijisumbue kwa ajili ya miili yenu kwamba mutavaa nini. Uzima ni wa lazima kuliko vyakula, nao mwili ni wa lazima kuliko nguo.


Nani kati yenu, kwa ajili ya kujisumbua kwake, anaweza kujiongezea hata siku moja kupita muda wa maisha yake?


Mufikiri juu ya namna maua yanavyoota. Hayasumbuki wala kujisukia nguo. Lakini ninawaambia kwamba hata mufalme Solomono katika utukufu wote aliokuwa nao, hakuvaa nguo inayoweza kulinganishwa na uzuri wa moja la maua.


Basi musijisumbue kwa kutafuta chakula au kinywaji.


Mumutolee masumbuko yenu yote kwa maana yeye anawashugulikia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ