6 kwa maana mumoja kati ya warafiki zangu amenifikia kutoka safari, nami sina chakula cha kumupatia.’
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Kwa mufano, mumoja kati yenu yuko na rafiki, naye anamwendea katikati ya usiku kwa kumwambia: ‘Rafiki yangu, ninakuomba unikopeshe mikate mitatu,
Na yule anayekuwa ndani ya nyumba akimujibu: ‘Usiniuzi! Mulango umekwisha kufungwa. Mimi na watoto wangu tumekwisha kulala; siwezi kuamuka kwa kukupatia mikate.’