Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 11:46 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

46 Yesu akajibu: “Ole kwenu vilevile, ninyi walimu wa Sheria! Munawabebesha watu mizigo mizito, lakini ninyi wenyewe hamufikiri hata kidogo juu ya namna ya kuwasaidia kuibeba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 11:46
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ole kwao wanaotunga sheria za uovu, watu wanaopitisha sheria za kugandamiza.


Mafungo ninayotaka mimi ni haya: kuwafungua waliofungwa bila haki, kuziondoa kamba za utumwa, kuwaacha huru wanaogandamizwa, na kuvunja kabisa mambo yote ya kitumwa!


Na mumoja wao, aliyekuwa mwalimu mukubwa wa Sheria, akamufikia Yesu na kumwuliza hivi kwa kumupima:


Mumoja kati ya walimu wa Sheria akamwambia: “Mwalimu, kwa kusema vile unatutukana sisi vilevile.”


“Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria! Mumewaficha watu ufunguo wasiingie kwenye nafasi wanapoweza kujifunza elimu. Ninyi wenyewe hamuingii pale, nanyi munawazuia wale wanaotaka kuingia.”


Watu hao wanaotahiriwa, hawashiki Sheria lakini wanataka mutahiriwe kusudi wapate kujivuna kwamba wanawashurutisha kuwa na kitambulisho kile juu ya mwili wenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ