Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 11:44 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

44 Ole kwenu! Munafanana na makaburi yasiyoonekana wazi ambayo watu wanatembea juu yao pasipo kujua.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 11:44
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ee Yawe, katika haki yako, uisawanishe njia yako mbele yangu. Uniongoze kwa sababu ya waadui zangu.


Wanapoona mufupa wa mutu wataweka kitambulisho juu yake kusudi wale wanaozika wakuje na kuuzika katika Bonde la Hamoni-Gogi.


Nabii ni mulinzi wa Waefuraimu kwa pahali pa Mungu; lakini, popote anapoenda anategewa mutego kama ndege. Hata katika nyumba ya Mungu wake anachukiwa.


Mutu yeyote akigusa mwili wa mutu aliyeuawa au aliyekufa kifo cha kawaida inje ya nyumba, au akigusa mufupa wa mutu au kaburi, atakuwa muchafu kwa siku saba.


Mbegu hii ni ndogo sana kuliko mbegu zote, lakini inapokwisha kuota, inakuwa kubwa zaidi kuliko mimea yote, hata ndege wanakuja na kujenga chicha zao katikati ya matawi yake.”


Halafu Paulo akamwambia: “Mungu yeye mwenyewe atakupiga kofi, wewe unayeonekana kwa inje kama ukuta uliopakaliwa chokaa! Wewe unaikaa pale kwa kunihukumu kufuatana na Sheria. Lakini wewe mwenyewe unaivunja kwa kuamuru wanipige!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ