38 Mufarisayo yule akashangaa alipoona kwamba Yesu hakunawa mikono mbele ya kula.
Yesu aliposikia maneno haya, akashangaa na kuwaambia watu waliomufuata: “Kweli ninawaambia: katika inchi yote ya Israeli, sijaona bado mutu anayekuwa na imani kubwa kama huyu.
Yesu alipomaliza kusema, Mufarisayo mumoja akamwalika kwake kuja kula chakula. Yesu akaenda na kuikaa kule.
Kulitokea mabishano kati ya wanafunzi wa Yoane na Muyuda mumoja juu ya desturi zao za kujitakasa.