Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 11:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

35 Ujiangalie vizuri kusudi mwangaza unaokuwa ndani yako usigeuke kuwa giza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 11:35
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kuna njia mutu anayoona kuwa sawa, lakini kwa mwisho inaongoza kwenye kifo.


Unamwona mutu anayejiona kuwa mwenye hekima? Afazali kumutumainia mupumbafu kuliko yule.


“Macho ni taa ya mwili. Kama macho yako yakiwa mazima, mwili wako wote utabaki katika mwangaza.


Jicho ni taa ya mwili. Kama jicho lako likiwa zima, mwili wako wote utabaki katika mwangaza. Lakini kama jicho lako linaharibika, mwili wako vilevile utabaki katika giza.


Basi kama mwili wako wote uko katika mwangaza pasipo kiungo kinachokuwa katika giza, mwili wako wote utabaki katika mwangaza kabisa, kama vile taa inavyokuangazia kwa mwangaza wake.”


Wanajidai kwamba wao ni wenye hekima, lakini wako wapumbafu.


Lakini mutu asiyekuwa na tabia hizo ni kipofu, hawezi kuona. Yeye amesahau kwamba amekwisha kutakaswa zambi zake za zamani.


Kwa maana kwa masemi yao ya kujivuna na yasiyokuwa na maana, na kwa njia ya tamaa zao mbaya za kimwili, wanawavuta watu ambao wanaanza kuwaepuka, na wale wanaoishi katika udanganyifu.


Wewe unajidai kwamba uko tajiri mwenye mali mengi, wala haukosewi kitu. Lakini haujui kwamba wewe ni mukosefu, mwenye taabu, masikini, kipofu na mwenye kuwa uchi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ