30 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa kitambulisho kwa watu wa Ninawe, ni vile Mwana wa Mutu atakavyokuwa kitambulisho kwa watu wa kizazi hiki.
Naye Ezekieli atakuwa kitambulisho kwenu: mutafanya kila kitu kama vile alivyotenda. Wakati mambo hayo yatakapotukia, mutatambua kwamba mimi ni Bwana wenu Yawe.
Neno la Yawe lilimufikia Yona mwana wa Amitai kusema hivi:
Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea sadaka, na kutimiza viapo vyangu. Yawe, ndiye anayeokoa.