Heri yule anayesoma na wale wanaosikia maneno hayo ya unabii na kushika yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki, kwa maana wakati wa kutimia kwa mambo haya unakaribia.
Heri wale wanaosafisha kanzu zao, kwa maana watakuwa na haki ya kukula matunda ya muti wa uzima na ya kuingia katika muji ule kwa kupitia kwenye milango.