Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 11:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Lakini Yesu akajibu: “Heri zaidi wale wanaosikia neno la Mungu na kulitii!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 11:28
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Haleluia! Heri mutu anayemuheshimu Yawe, anayefurahia sana kushika amri zake.


Wimbo wa safari za kidini. Heri wote wanaomwabudu Yawe, wanaoishi kufuatana na amri zake.


Anayeshika amri analinda maisha yake; anayezarau agizo atakufa.


“Sasa basi, wana wangu, munisikilize: heri wale wanaofuata njia zangu.


Lakini Yesu akawajibu: “Mama yangu na wandugu zangu ni wale wanaosikia neno la Mungu na kulishika.”


Sasa kwa kuona munajua jambo hili, mutakuwa wenye heri kama mukilifanya.


Heri yule anayesoma na wale wanaosikia maneno hayo ya unabii na kushika yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki, kwa maana wakati wa kutimia kwa mambo haya unakaribia.


Heri wale wanaosafisha kanzu zao, kwa maana watakuwa na haki ya kukula matunda ya muti wa uzima na ya kuingia katika muji ule kwa kupitia kwenye milango.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ