“Wakati pepo amekwisha kutoka ndani ya mutu, anazungukazunguka kwenye ukiwa katika jangwa akitafuta nafasi ya kupumzikia. Asipopata nafasi ile, anasema: ‘Nitarudia ndani ya nyumba yangu nilimotoka.’
Halafu anakwenda kutwaa pepo wengine saba wanaokuwa wabaya kumupita, nao wanaingia na kukaa mule. Na hali ya mwisho ya mutu yule inageuka mbaya kuliko hali yake ya kwanza.”