Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 11:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 “Wakati pepo amekwisha kutoka ndani ya mutu, anazungukazunguka kwenye ukiwa katika jangwa akitafuta nafasi ya kupumzikia. Asipopata nafasi ile, anasema: ‘Nitarudia ndani ya nyumba yangu nilimotoka.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 11:24
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe akamwuliza Shetani: “Unatoka wapi wewe?” Shetani akamujibu Yawe: “Ninatoka kutembeatembea na kuzungukazunguka katika dunia.”


Yawe akamwuliza Shetani: “Unatoka wapi wewe?” Naye Shetani akamujibu Yawe: “Ninatoka kutembeatembea na kuzungukazunguka katika dunia.”


Zaburi ya Daudi wakati alipokuwa katika jangwa la Yudea.


Waovu hawalali hata kidogo wasipotenda uovu; hawapati usingizi wasipomukwaza mutu.


Muchanga wa moto katika jangwa utakuwa ziwa la maji, inchi kavu itabubujika vijito. Makao ya imbwa wa pori yatajaa maji; nyasi zitaota na kukomaa kama mianzi.


Nitaimwangilia maji inchi yenye kiu, na kutiririsha muto katika inchi iliyokauka. Nitajaza roho wangu juu ya wazao wako, nitawamwangia watoto wako baraka yangu.


Lakini Yawe anasema hivi: Hakuna amani kwa watu waovu.


Akazidi kumusihi Yesu kwamba asiwatoshe wale pepo katika inchi ile.


Wakati Yesu alipoona watu wengi wanazidi kukusanyika mbiombio, akamukaripia yule pepo na kumwambia: “Wewe pepo wa bubu na wa kiziwi, ninakuamuru utoke ndani ya mutu huyu wala usimurudilie tena!”


Anaporudia, anaikuta wazi bila mutu, nayo imefagiliwa na kupambwa vizuri.


Mulikuwa mukiishi kufuatana na mwenendo mubaya wa dunia hii. Mulitii mutawala wa roho zenye uwezo wa anga anayetawala sasa watu wasiomutii Mungu.


Mukuwe waangalifu na mukeshe, kwa maana adui yenu Shetani anazungukazunguka kama simba anayenguruma akitafuta yule atakayerarua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ