23 “Asiyekuwa wa upande wangu ni adui yangu; na asiyekusanya pamoja nami, anasambaza.
“Asiyekuwa wa upande wangu ni adui yangu; na asiyekusanya pamoja nami, anasambaza.
Ni vile kwa maana asiyekuwa adui yetu, ni wa upande wetu.
Lakini mutu mwingine mwenye nguvu zaidi akimushambulia na kumushinda, anamunyanganya silaha zake alizotegemea na kugawanya vitu vya unyanganyi anavyokuwa navyo.
Lakini Yesu akamujibu: “Musimukataze, kwa maana yule asiyekuwa adui yenu ni wa upande wenu.”