Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 11:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Tena ikiwa ninafukuza pepo kwa uwezo wa Belzebuli, basi watu wa kikundi chenu wanawafukuza kwa uwezo wa nani? Watu hao watashuhudia kwa njia ya matendo yao kwamba ninyi ni wakosaji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 11:19
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maneno yako mwenyewe yanakuhukumu, sio mimi; masemi yako yanashuhudia juu yako.


Lakini inatosha kwa mwanafunzi kufanana na mwalimu wake na mutumishi kufanana na bwana wake. Ikiwa wanamwita mukubwa wa jamaa Belzebuli, hawatakosa kuwaita watu wa jamaa yake kwa majina mabaya zaidi.


Habari zake zikavuma katika inchi yote ya Suria. Wakamuletea watu wote walioteswa na magonjwa mbalimbali na wenye maumivu ya kila namna, wenye pepo, wenye kifafa na wenye kupooza, naye Yesu akawaponyesha.


Yule bwana akamujibu: ‘Wewe mutumishi mubaya! Nitakuhukumu kufuatana na maneno yako. Ulijua kama mimi ni mutu mugumu, ninayetafutia nafasi nisipowekea na kuvuna nafasi nisipopanda.


Naye Yoane akasema: “Bwana, tulimwona mutu mumoja akifukuza pepo kwa jina lako, nasi tulimukataza, kwa sababu yeye si wa kundi letu.”


Na kulikuwa Wayuda wamoja waliotangatanga huku na huko kwa kufukuza pepo. Watu wale wakajaribu vilevile kutaja jina la Bwana Yesu, wakiwaambia vilevile pepo: “Ninawaamuru muondoke kwa jina la Yesu, yule anayehubiriwa na Paulo.”


Basi tunajua kama maneno yote yanayosemwa na Sheria, yanawaelekea wale wanaolazimishwa kutii Sheria, kusudi mutu yeyote asikuwe na namna ya kujitetea, na dunia nzima ipaswe kuhukumiwa na Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ