14 Yesu alikuwa akifukuza pepo aliyemufanya mutu mumoja kuwa bubu. Yule pepo alipotoka, yule bubu akaanza kusema. Na makundi ya watu wakashangaa sana.
Viwete watarukaruka kama paa, na bubu wataimba kwa furaha. Maji yatabubujika katika jangwa na vijito katika mbuga.
Yesu aliposikia maneno haya, akashangaa na kuwaambia watu waliomufuata: “Kweli ninawaambia: katika inchi yote ya Israeli, sijaona bado mutu anayekuwa na imani kubwa kama huyu.