Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Musibebe feza, wala mufuko, wala viatu, na musimusalimie mutu katika njia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 10:4
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, wakamutayarishia chakula, lakini yeye akasema: “Sitakula mpaka niseme ninachotaka kusema.” Labani akamwambia: “Basi, sema.”


Lakini yeye akasema: “Tafazali, musinicheleweshe, kwa sababu Yawe amekwisha kufanikisha katika safari yangu. Ninaomba muniruhusu kurudi kwa bwana wangu.”


Akatandika punda na kumwambia mutumishi: “Sasa kaza mwendo, wala usipunguze mpaka nitakapokuambia.”


Elisha akamwambia Gehazi: “Ujitayarishe kusafiri, twaa fimbo yangu, na uende mara moja. Usisimame katika njia kwa kumusalimia mutu yeyote, na mutu yeyote akikusalimia katika njia, usipoteze wakati kwa kumurudishia salamu. Kwenda moja kwa moja mpaka katika nyumba na kuweka fimbo yangu juu ya uso wa mutoto.”


Uyaelekeze macho yako mbele sawasawa, kope zako zipige sawasawa.


Aliwaita wanafunzi wake kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawili wawili na kuwapatia uwezo wa kufukuza pepo.


Halafu Yesu akawauliza wanafunzi wake: “Nilipowatuma pasipo kubeba feza, wala mufuko, wala viatu, mulikosewa na kitu gani?” Wakamujibu: “Hakuna.”


Basi siku ile pale kulikuwa mutumishi mumoja wa Saulo ambaye alikuwa amezuiliwa mbele ya Yawe. Mutumishi yule aliitwa Doegi Mwedomu, aliyekuwa musimamizi wa wachungaji wa nyama wa Saulo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ