Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 10:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakisafiri, wakaingia katika kijiji kimoja. Kule mwanamuke mumoja aliyeitwa Marta akamukaribisha ndani ya nyumba yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 10:38
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye akajibu: “Ni yule aliyemusikilia huruma.” Halafu Yesu akamwambia: “Kwenda, nawe ufanye sawa sawa.”


Lakini Marta alikuwa anafungwa na kazi nyingi za nyumba. Kwa hiyo akamwendea Yesu na kumwambia: “Bwana, haikuhangaishi kitu kuona jinsi dada yangu anavyoniachilia kutumika mimi peke? Umwambie anisaidie.”


Bwana akamujibu: “Marta! Marta! Kwa nini unahangaika na kusumbuka kwa ajili ya vitu vingi?


Kisha yeye na watu wa nyumba yake wakabatizwa. Naye akatusihi akisema: “Ikiwa munakubali kweli kwamba ninamwamini Bwana, basi mufike mupange ndani ya nyumba yangu.” Akatulazimisha tuitike.


Naye Yasoni amewakaribisha kwake! Hawa wote wanatembea kinyume cha amri za Mufalme wa Roma wakisema kwamba kuna mufalme mwingine anayeitwa Yesu.”


Mutu akikuja kwenu, naye asipowafundisha mafundisho haya, musimukaribishe ndani ya nyumba yenu, wala musimusalimie;


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ