Luka 10:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
36 Halafu Yesu akamwuliza yule mwalimu wa Sheria: “Kati ya hawa watatu ni nani aliyemutendea yule mutu aliyeshambuliwa na wanyanganyi kama vile mwenzake?”
Petro akawajibu: “Ndiyo, analipa.” Petro alipoingia ndani ya nyumba, mbele hajasema kitu Yesu akamwuliza: “Simoni, unafikiri nini? Wafalme wa dunia wanawalipisha watu gani kodi au malipo mengine mbalimbali? Ni watu wa jamaa zao wenyewe au watu wengine?”
Kesho yake akatwaa vikoroti viwili vya feza, na kuvitoa kwa mwenye nyumba, akimwambia: ‘Umuchunge mutu huyu, na feza zingine utakazotumia zaidi ya hizi kwa matunzo yake, nitazilipa kwako nitakaporudia.’ ”
Na kwa kuona wote wawili hawakukuwa na uwezo wa kulipa madeni yao, yule bwana akawasamehe. Sasa, uniambie, kati ya hawa wawili, ni nani atakayemupenda yule bwana zaidi?”