Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 10:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

35 Kesho yake akatwaa vikoroti viwili vya feza, na kuvitoa kwa mwenye nyumba, akimwambia: ‘Umuchunge mutu huyu, na feza zingine utakazotumia zaidi ya hizi kwa matunzo yake, nitazilipa kwako nitakaporudia.’ ”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 10:35
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anayemusaidia masikini anamukopesha Yawe; Yawe atamulipa kwa tendo lake jema.


“Mutumishi yule alipoondoka, akakutana na mumoja wa watumishi wenzake aliyekuwa na deni lake la vikoroti mia moja vya feza. Akamukamata na kumunyonganyonga shingo na kumulazimisha kulipa deni lake.


Akapatana na watumishi wamoja kuwalipa kila mutu kikoroti kimoja cha feza sawa na kawaida, naye akawatuma katika shamba lake.


Akajongea karibu naye, akamutunza vidonda, akivimwangia divai na kuvimimia mafuta na kuvifunga na vitambaa. Kisha akamupandisha juu ya punda wake, na kumupeleka kwenye nyumba ya kupangisha wageni na kumuchunga.


Halafu Yesu akamwuliza yule mwalimu wa Sheria: “Kati ya hawa watatu ni nani aliyemutendea yule mutu aliyeshambuliwa na wanyanganyi kama vile mwenzake?”


Lakini wakati unapofanya karamu, uwaalike wamasikini, vilema, viwete na vipofu.


Gayo, aliyenikaribisha na anayekaribisha kanisa zima kwa kukusanyika kwake, anawasalimia. Erasto, mulinzi wa mali ya muji, pamoja na ndugu yetu Kwarto, wanawasalimia. [


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ