Luka 10:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
24 Kwa maana ninawaambia: manabii wengi na wafalme walitamani kuona mambo munayoyaona, lakini hawakuyaona, na kusikia maneno munayoyasikia, lakini hawakuyasikia.”
Watu hawa wote walikufa katika imani pasipo kupokea mambo Mungu aliyoahidi. Lakini waliyaona kwa mbali na kuyafurahia, wakikubali kwamba walikuwa wageni na wasafiri katika dunia.