Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 10:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Muangalie, nimewapa uwezo wa kukanyaga nyoka na nge na mamlaka ya kumushinda yule adui Shetani; wala hakuna kitu chochote kitakachowazuru.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 10:19
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Muzigo wa baba yangu ulikuwa muzito, lakini wangu utakuwa muzito zaidi. Baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa mijeledi yenye miiba.’ ”


Utakanyaga simba na nyoka wa hatari, utawaponda simba wakali na nyoka.


Mutoto muchanga atacheza kwenye shimo la nyoka, mutoto ataweza kutia mukono kwenye shimo la nyoka wa sumu.


Lakini, ewe mwanadamu usiwaogope hao wala maneno yao; maana uko katikati ya michongoma na miiba, nawe unaikaa pamoja na nge; usiogope maneno yao wala usitishwe na nyuso zao, maana hao ni watu waasi.


wakishika nyoka au kunywa sumu yoyote, hawatakufa. Wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”


Au anayeweza kumupa nge kama akimwomba yai?


Lakini Paulo akamukungutia yule nyoka katika moto wala hakumuzuru hata kidogo.


Mungu, anayeleta amani, atamupondaponda sasa hivi Shetani chini ya miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo ikuwe pamoja nanyi.


Na kama mutu akitaka kuwazuru, moto unatoka katika vinywa vyao na kuteketeza waadui zao. Ni vile ndivyo mutu anayetaka kuwazuru anavyopaswa kuuawa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ