Luka 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Siku moja, Zakaria alikuwa akimutumikia Mungu, akifanya kazi yake ya ukuhani kwa maana ilikuwa zamu ya kundi lake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Vilevile, kati ya wazao wa Haruni, makuhani waliokuwa wanakaa katika mashamba waliyorizi kwa pamoja inje ya miji yao, kulikuwa watu waliochaguliwa kwenye miji hiyo ambao waliwagawanyia sehemu zao za vyakula. Waliwapa sehemu kila mwanaume katika jamaa za makuhani, na kila mumoja aliyekuwa ameandikishwa kati ya Walawi.