Luka 1:77 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200277 Upate kuwajulisha watu wake kwamba atawaokoa akisamehe zambi zao. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Kristo alitolewa na Mungu kuwa sadaka ya usamehe wa zambi kwa njia ya damu yake kwa ajili ya wenye kumwamini. Mungu alifanya hivi kwa kuonyesha haki yake. Zamani, katika uvumilivu wake, aliacha kuazibu zambi za watu. Lakini kwa wakati wa sasa anaonyesha haki yake kusudi akuwe mwenye haki na kumuhesabia haki kila mutu anayemwamini Yesu.