62 Halafu wakamwuliza baba ya mutoto kwa njia ya kufanya alama jina gani analotaka wamupe.
Alipotoka inje, hakuweza kusema nao, na watu wakatambua kwamba amepata maono ndani ya hekalu. Lakini alikuwa akifanya alama kwa mikono, kwa sababu alibaki bubu.
Wakamwambia: “Mbona hakuna mutu katika jamaa yako anayeitwa kwa jina hili?”