61 Wakamwambia: “Mbona hakuna mutu katika jamaa yako anayeitwa kwa jina hili?”
Lakini mama yake akakataa na kuwaambia kwamba jina lake litaitwa Yoane.
Halafu wakamwuliza baba ya mutoto kwa njia ya kufanya alama jina gani analotaka wamupe.
Kulitokea mutu aliyetumwa na Mungu, jina lake Yoane.