Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 1:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Katika siku Herode alipokuwa mufalme wa Yudea, kulikuwa kuhani mumoja, aliyeitwa Zakaria, wa kundi la makuhani wa ukoo wa Abiya. Muke wake Elizabeti alikuwa vilevile wa uzao wa Kuhani Mukubwa Haruni.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 1:5
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hawa waliandikishwa kulingana na kazi zao kuingia katika nyumba ya Yawe kutumika kwa kadiri ya utaratibu waliowekewa na babu yao Haruni, kama vile alivyoamuriwa na Yawe, Mungu wa Israeli.


Yesu alizaliwa Betelehemu katika Yudea wakati wa utawala wa mufalme Herode. Kisha kuzaliwa kwake, watu wenye elimu kutoka mashariki wakafika Yerusalema.


Lakini yule malaika akamwambia: “Zakaria, usiogope, kwa maana Mungu amesikia maombi yako. Muke wako Elizabeti atakuzalia mutoto mwanaume, nawe utamwita jina lake Yoane.


Halafu nyuma ya siku zile, muke wake Elizabeti akapata mimba. Hakutokatoka ndani ya nyumba kwa muda wa miezi mitano, akisema:


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ