Luka 1:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Katika siku Herode alipokuwa mufalme wa Yudea, kulikuwa kuhani mumoja, aliyeitwa Zakaria, wa kundi la makuhani wa ukoo wa Abiya. Muke wake Elizabeti alikuwa vilevile wa uzao wa Kuhani Mukubwa Haruni. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |