44 Kwa maana mara moja niliposikia salamu yako, mutoto akajitingiza kwa furaha ndani ya tumbo langu.
Elizabeti aliposikia salamu ya Maria, mutoto akajitingiza ndani ya tumbo lake. Elizabeti akajazwa na Roho Mutakatifu,
Namna gani nimepata bahati hii ya kutembelewa na mama ya Bwana wangu?
Heri kwako wewe uliyesadiki kwamba maneno yale uliyoambiwa kutoka kwa Bwana yatatimizwa!”
Mambo hayo yatakapotokea, mufurahi na kurukaruka, maana munawekewa zawadi kubwa mbinguni. Ni hivi babu zao walivyowatendea manabii.