38 Basi Maria akasema: “Mimi ni mujakazi wa Bwana; ifanyike kwangu sawa ulivyosema.” Kisha malaika akajiendea.
Ee Yawe, mimi ni mutumishi wako, mutumishi wako, mutoto wa mujakazi wako. Umenifungulia vifungo vyangu.
Unitimizie mimi mutumishi wako ahadi yako; ahadi unayowapa wale wanaokuheshimu.
Kwa maana hakuna kisichowezekana kwa Mungu.”
Katika siku zile, Maria akafunga safari, akaenda kwa haraka katika muji mumoja uliokuwa katika vilima vya Yudea.
kwa maana ameniangalia kwa huruma, mimi mujakazi wake munyenyekevu. Tangu sasa watu wote wataniita mwenye heri,
Imeandikwa kwamba Abrahamu alikuwa na wana wawili. Alizaa mwana mumoja na muke wake mujakazi na mwingine na muke wake huru wa ndoa.