Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 9:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Yawe akamwambia Musa na Haruni: “Mutwae kila mumoja wenu vitanga vya majivu ya furu, kisha Musa ayarushe juu katika hewa mbele ya mufalme wa Misri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 9:8
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Yawe akamwambia Musa: “Kesho amuka asubui mapema umwendee mufalme wa Misri wakati anapokwenda kwenye muto umwambie: ‘Yawe anasema hivi: Uwaache watu wangu waondoke kusudi wanitumikie.


Basi, wakatwaa majivu kutoka kwenye furu, wakamwendea mufalme wa Misri, naye Musa akayarusha juu katika hewa. Watu na nyama wakapatwa na majipu.


Mufalme wa Misri akauliza habari juu ya nyama wa Waisraeli. Wakamwambia kwamba hakuna nyama wao hata mumoja aliyekufa. Hata hivyo, Mufalme akabaki akifanya moyo wake kuwa mugumu, wala hakuwaruhusu Waisraeli waondoke.


Majivu hayo yatakuwa vumbi nyembamba itakayoenea juu ya inchi yote ya Misri. Yatasababisha majipu yatakayopasuka na kuwa vidonda kwa watu na nyama kila pahali katika inchi ya Misri.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ